Rappah masoso anae fanya powa kupitia mziki wa bongo fleva amefunguka na kusema kwa mwaka 2017 ajaona ngoma kali iliyo toka zaidi ya ngoma yake itwayo KULIKO
Rapa uyo alizungumza ayo alipo kuwa anaojiwa na kipind cha The joint show alipo kuwa kwenye maojiano mwanzoni mwa mwaka 2018 na kuuliza kwa upande wake anaona ni ngoma gani au msanii gani anae ona kafanya powa zaidi jibu
Mimi naona kwa mwaka 2017 sijaona ngoma iliyo fanya powa wala msanii alie fanya powa zaid yangu na ngoma yangu iliyo fanya powa ni ya kuliko
Kwa sasa rapa masoso anatamba na ngoma ya KULIKO
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Monday, January 22, 2018

HAKUNA NGOMA KALI ILIYO TOKA 2017 ZAIDI YA KULIKO YA MASOSO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
No comments:
Post a Comment